uchambuzi.wordpress.com
August | 2007 | Jukwaa Huru la Uchambuzi
https://uchambuzi.wordpress.com/2007/08
Jukwaa Huru la Uchambuzi. Archive for August, 2007. Msanii wa Bongo Fleva ndani ya Blogu. Wengi wetu tulitarajia na tulijua kuwa ni suala la muda tu, tungeweza kumwona Freddy Macha mtandaoni, lakini ni nani alitarajia ujio wa Ilunga Khalifa? Kuna watu tayari wanajiuliza naye ni nani. Sasa ngoja nikwambie kitu…. Ilunga Khalifa, ni mmoja kati ya wasanii kadhaa wa huu muziki wa kizazi kipya, ambao wamefanikiwa ‘kuwashika’ vijana vilivyo kutokana na nyimbo zao zenye mistari ya aina yake. Wakati wasanii wetu ...
uchambuzi.wordpress.com
March | 2007 | Jukwaa Huru la Uchambuzi
https://uchambuzi.wordpress.com/2007/03
Jukwaa Huru la Uchambuzi. Archive for March, 2007. Nawashukuru sana kwa kuniunga mkono, na nawaahidi kuwa niko pamoja nanyi daima, na pindi masomo yakipungua ukali kidogo, nitajitahidi sana kuwaletea yale mapya niliyokumbana nayo katika safari hii ya sasa. March 18, 2007 at 10:55 am. Muswada wa Habari ulioandaliwa na wadau. Ule wa serikali vile uko sehemu gani jamani? Maana zile tovuti wanazotutajia kila siku zinakuwa ama hazipatikani, au hazina kitu hicho. March 11, 2007 at 12:08 pm. K – Lyinn.
uchambuzi.wordpress.com
KENYA: Mabadiliko hayabadiliki.. | Jukwaa Huru la Uchambuzi
https://uchambuzi.wordpress.com/2008/01/10/kenya-mabadiliko-hayabadiliki
Jukwaa Huru la Uchambuzi. January 10, 2008 at 7:45 pm. Mazungumzo ya kusaka muafaka baina ya pande zinazosababisha umwagaji damu nchini Kenya yamevunjika. Soma hapa. Nimekuwa nikifuatilia mambo yanayoendelea kwa jirani zangu hawa, kupitia njia mbalimbali zikiwemo za mawasiliano na vyombo vya habari. Katika kipindi hiki kigumu sana, miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakifanya kazi kubwa sana ni jamaa zangu waandikao mtandaoni ama Bloggers. Kusikia kile anachosema huyu jamaa. na pia bonyeza hapa. You are co...
uchambuzi.wordpress.com
December | 2007 | Jukwaa Huru la Uchambuzi
https://uchambuzi.wordpress.com/2007/12
Jukwaa Huru la Uchambuzi. Archive for December, 2007. Heri ya mwaka mpya wana Jukwaa la Uchambuzi wote. December 30, 2007 at 6:34 pm. Hivi ilikuwa siku ya Maadili au Madili? Anyway, si mbaya lakini, naamini mliifurahia. December 11, 2007 at 10:39 am. Hivi ni nini hasa kinaendelea ndani ya TAKUKURU? Hivi ni nini hasa kinaendelea ndani ya TAKUKURU? Hili ndilo swali la kwanza kabisa nililojiuliza baada ya kusoma ujumbe huu. Lakini haijaishia hapo, nikasoma na kutumiwa tena ujumbe huu hapa. Nikiwa mmoja wa W...
uchambuzi.wordpress.com
May | 2007 | Jukwaa Huru la Uchambuzi
https://uchambuzi.wordpress.com/2007/05
Jukwaa Huru la Uchambuzi. Archive for May, 2007. Taifa Stars, uchaguzi CCM and Uchaguzi wetu. Ebo, wakitushinda uwanjani basi hata kwa mdomo pia! Bwana wee, si tunaambiwa “majina makubwa yanamaanisha habari kubwa? Tuyaache hayo, eeeh ni hivi; mwanane, nimejitokeza kugombea likiti la uenyekiti katika lijuiya letu la wana blogi, nawania linafasi la uenyekiti mwanawame kwahiyo naomba wajameni mnikandamizie mikura yenu ya kutosha tu, kusudi niweze kuliongoza lijumuiya hili changa. Kimsingi hakutakuwa na ...
uchambuzi.wordpress.com
June | 2007 | Jukwaa Huru la Uchambuzi
https://uchambuzi.wordpress.com/2007/06
Jukwaa Huru la Uchambuzi. Archive for June, 2007. UMBALI wa kutoka Mbeya mjini (Jijini? Hadi Kyela ni kilomita 100 na kidogo hivi. Katika mazingira ya kawaida, unatarajia kuwa safari baina ya sehemu hizi mbili (kwa kutumia usafiri wa jumuiya/basi), ikugharimu muda wa masaa mawili kwa kiwango cha juu kabisa. Mbali ya hilo, barabara hii pengine ni miongoni mwa zile ambazo zina idadi kubwa ya maaskari wa Usalama (au Uhasama? Ni safari ambayo kila mara ambapo nimekuwa nikiifanya, nimekuwa najiuliza swali moj...
zainathy.blogspot.com
Mkombozi wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe
http://zainathy.blogspot.com/2005_05_01_archive.html
Mafanikio daima ni kwa wale wenye Kujaribu bila kujali mara ngapi wanaanguka ". Wednesday, May 25, 2005. Hivi kweli hawa ni watumishi wa mungu au waigizaji? Hivi ni kweli siku hizi kuna dini kweli au ndio kusema siku za mwisho zimekaribia hivyo manabii wa uongo wanajitokeza na kupotosha watu kama alivyofanya padre huyu hapa. Zainab Yusuph Leo: 5/25/2005 10:42:00 AM. Thursday, May 19, 2005. Kwa kweli hili linahitaji maombi pia! Zainab Yusuph Leo: 5/19/2005 12:44:00 PM. Tuesday, May 17, 2005. Wanawake weng...
uchambuzi.wordpress.com
January | 2008 | Jukwaa Huru la Uchambuzi
https://uchambuzi.wordpress.com/2008/01
Jukwaa Huru la Uchambuzi. Archive for January, 2008. Mazungumzo ya kusaka muafaka baina ya pande zinazosababisha umwagaji damu nchini Kenya yamevunjika. Soma hapa. Nimekuwa nikifuatilia mambo yanayoendelea kwa jirani zangu hawa, kupitia njia mbalimbali zikiwemo za mawasiliano na vyombo vya habari. Katika kipindi hiki kigumu sana, miongoni mwa watu ambao wamekuwa wakifanya kazi kubwa sana ni jamaa zangu waandikao mtandaoni ama Bloggers. Kusikia kile anachosema huyu jamaa. na pia bonyeza hapa. Jitihada za ...
uchambuzi.wordpress.com
February | 2008 | Jukwaa Huru la Uchambuzi
https://uchambuzi.wordpress.com/2008/02
Jukwaa Huru la Uchambuzi. Archive for February, 2008. Kichwa cha ajabu duniani. Unamjua mtu mwenye kumbukumbu za ajabu sana humu duniani? Mtu ambaye unaweza kumtajia tarehe fulani miaka kumi iliyopita na kisha baada ya sekunde tano akaanza kuielezea siku hiyo kuwa ilikuwa siku gani, ilianza vipi, alifanya nini na nini cha muhimu kilitokea siku hiyo? February 24, 2008 at 11:59 am. Kilichomng’oa Lowasa madarakani. February 9, 2008 at 10:54 am. Bango la Matangazo and Wazo mahususi. Mapambo & Wageni. Follow ...