tabora-yetu.blogspot.com
MWILI WA MAREHEMU NYAWANA FUNDIKIRA WASAFIRISHWA KULEKEA TABORA KWA MAZISHI. - Tabora Yetu
https://tabora-yetu.blogspot.com/2013/11/mwili-wa-marehemu-nyawana-fundikira.html
MWILI WA MAREHEMU NYAWANA FUNDIKIRA WASAFIRISHWA KULEKEA TABORA KWA MAZISHI. MWILI WA MAREHEMU NYAWANA FUNDIKIRA WASAFIRISHWA KULEKEA TABORA KWA MAZISHI. Msanii wa kundi la taarabu la mashauzi classic Thabit Abdul akiwa amebeba jeneza la mwili wa marehemu msanii Nyawana Fundikira pamoja na wahusika wengine kwa ajili ya kupeleka kwenye gari iliyomsafirisha kwenda Tabora kwa ajili ya maziko. Mume wa marehemu Nyawana Fundikira Kais Mussa Kais akihojiwa na Mwanne Athumani waEATV. Please Share this Blog.
sdmproductionmedia.blogspot.com
Je CHADEMA wana zingatia Demokrasia kwa Maamuzi ya Kumtoa Zitto Kabwe Uanachama. | SDM PRODUCTION MEDIA
http://sdmproductionmedia.blogspot.com/2015/03/je-chadema-wana-zingatia-demokrasia-kwa.html
Inahusika na mambo ya utoji wa habari na matangazo. Je CHADEMA wana zingatia Demokrasia kwa Maamuzi ya Kumtoa Zitto Kabwe Uanachama. Je CHADEMA wana zingatia Demokrasia kwa Maamuzi ya Kumtoa Zitto Kabwe Uanachama. Mwanasheria mkuu wa chama cha CHADEMA Tundu Lissu ametangaza kuvuliwa rasmi uanachama kwa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali pingamizi la mbunge huyo la kuzuia asijadiliwe. Share on Google Plus. Watch the Video Here.
masalujr.blogspot.com
MOYES AMTOA KWA MKOPO ZAHA - NYUMBA YA MICHEZO NA BURUDANI
http://masalujr.blogspot.com/2014/01/moyes-amtoa-kwa-mkopo-zaha.html
Post With Left Sidebar. Post With Rating System. Post Without Rating System. Post With Author Description. Post Without Author Description. Post Without Image and Rating. Alhamisi, 23 Januari 2014. MOYES AMTOA KWA MKOPO ZAHA. KLABU ya Manchester United imemtoa kwa mkopo mshambuliaji wake kinda, Wilfried Zaha kwa timu ya Cardiff City ili apate muda mwingi wa kucheza. Jisajili kwenye: Chapisha Maoni (Atom). CHEKI PICHA ZA MICHEZO YA LIGI KUU ENGLAND JANA. PICHA NA MATOKEO YA MICHEZO YOTE YA UEFA JANA USIKU.
viwanjani.blogspot.com
Viwanjani (nini kimejiri leo Maximo?): FAINALI YA TMT KUFANYIKA AUGUST 22, MAKUMBUSHO YA TAIFA POSTA
http://viwanjani.blogspot.com/2015/08/fainali-ya-tmt-kufanyika-august-22.html
Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00. TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI. Thursday, August 13, 2015. FAINALI YA TMT KUFANYIKA AUGUST 22, MAKUMBUSHO YA TAIFA POSTA. Shindano la kuibua na Kusaka Vipaji vya Kuigiza lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents (TMT) ambalo limedumu kwa takribani Miezi Minne hatimaye shindano hilo linakaribia kufika tamati mnamo tarehe 22 August 2015 huku Mshindi Mmoja Akiondoka Na Kitita Cha Shilingi Milioni Hamsini Za Kitanzania.
carrenmgonja.blogspot.com
CarrenFlora Mgonja: May 2015
http://carrenmgonja.blogspot.com/2015_05_01_archive.html
Wednesday, May 20, 2015. Rais Kikwete afungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) jijini Dar es salaam leo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 20, 2015. Sehemu ya wajumbe wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati akifungua rasmi mkutano wa siku mbili wa Open Government Partnership (OGP) katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mik...
carrenmgonja.blogspot.com
CarrenFlora Mgonja: November 2013
http://carrenmgonja.blogspot.com/2013_11_01_archive.html
Friday, November 15, 2013. MBUNGE KAPUYA YAMKUTA YA UBAKAJI NA KUTISHIA KUUA. Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM). MBUNGE wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), ameingia katika matata. Katika kujaribu kudhibiti mtoto wa shule ambaye anadai alibakwa naye na kuambukiwa virusi vya ukimwi, mbunge huyo ametoa vitisho vya kuua mtoto huyo na kujiua kama njia ya kuepuka dhahama inayoelekea kumkabili. Baadaye saa 1:07 asubuhi, alituma ujumbe mwingine kutoka simu hiyo hiyo kwenda kwa mto...
carrenmgonja.blogspot.com
CarrenFlora Mgonja: April 2015
http://carrenmgonja.blogspot.com/2015_04_01_archive.html
Sunday, April 19, 2015. WATANZANIA tusimame kupinga mauaji ya albino - Lowassa. WATANZANIA wametakiwa kulaani na kukemea mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi albino kwa kuwa matukio hayo yanaitia aibu nchi ya Tanzania na kupoteza sifa yake, kuwa nchi yenye amani. Aidha Chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi Tanzania (TAS) kimetakiwa kushawishi majina ya watu 16 waliohukumiwa kifo kutokana na mauaji ya watu wenye ualbino kumfikia mapema Rais Jakaya Kikwete ili kutoa hakumu. Links to this post. Kadhalika, ...
carrenmgonja.blogspot.com
CarrenFlora Mgonja: August 2013
http://carrenmgonja.blogspot.com/2013_08_01_archive.html
Friday, August 23, 2013. ANGELLAH KAIRUKI ALIPOTOA BAISKELI KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA VIUNGO. Angella Kairuki akiwa na watoto wake Kemy pamoja na Esta muda mfupi baada ya kukabidhi baiskeli hizo. Mama kairuki akiongea na mtoto Halima ambaye naye pia alipata baiskeli hiyo. Wazazi wakiwa na watoto wao baada ya kukabidhiwa baiskeli zao. Mtoto mmojawapo wa Mama Kairuki akimuendesha mtoto mmoja wapo aliyekabidhiwa baikeli. Mama Kairuki akiwa na familia yake pamoja na mtoto Halima. Links to this post. Nimeku...
carrenmgonja.blogspot.com
CarrenFlora Mgonja: May 2013
http://carrenmgonja.blogspot.com/2013_05_01_archive.html
Monday, May 20, 2013. NAY WA MITEGO NA DIAMOND PLATINUMZ WAFUNIKA KWENYE UZINDUZI WA VIDEO ' MUZIKI GANI' DAR LIVE! Nay wa Miego akiburudisha umati wa watu waliojitokeza kwa wingi Darlive! DAR Live usiku wa kuamkia leo ilitikisika baada ya mashabiki kujitokeza kwa wingi kushuhudia onyesho la pamoja kati ya wanamuziki wawili nyota wa kizazi kipya, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' na Ney wa Mitego ambao walikuwa wakizindua video ya wimbo wao wa 'Muziki Gani'. Diamond Platnumz akiwapa hi mashabiki. KATIKA si...
sdmproductionmedia.blogspot.com
MTOTO MWINGINE WA KUSIKITISHA AZALIWA SHINYANGA | SDM PRODUCTION MEDIA
http://sdmproductionmedia.blogspot.com/2015/03/mtoto-mwingine-wa-kusikitisha-azaliwa.html
Inahusika na mambo ya utoji wa habari na matangazo. MTOTO MWINGINE WA KUSIKITISHA AZALIWA SHINYANGA. MTOTO MWINGINE WA KUSIKITISHA AZALIWA SHINYANGA. Maskini Huyu mtoto amezaliwa usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya serikali ya Shinyanga akiwa na Viungo sehemu zisizo sahihi na baada ya muda alifariki Dunia. Najiuliza kwa Sauti Je nini Sababu za Watoto Kama Hawa? Kwani matukio ya wazazi kujifungua watoto wa ajabu yamekuwa mengi nyakati hizi. Share on Google Plus. Watch the Video Here. Bondia Ibrahimu ...