itv.co.tz
itv » shows
http://www.itv.co.tz/shows
Monday, 15th August 2016. You are not logged in. Login. SHERIA YA LESENI YA BIASHARA. Sham Sham Za Pwani. Sham Sham Za Pwani. Kuongeza vituo vya matibabu ya waathirika wa dawa za kulevya. Je, ni suluhisho la kudumu la tatizo hilo?
itv.co.tz
itv » shows » dakika~45
http://www.itv.co.tz/shows/dakika~45
Thursday, 25th August 2016. You are not logged in. Login. Ni kipindi kinachoelezea mafanikio na changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi na mikakati inayofanywa na Serikali pamoja na idara husika katika kuyatatua. Warioba ameongea na Dakika 45 kuhusu mchakato wa katiba mpyana hii ni sehemu ya pili. Hii ni sehemu ya pili ya kipindi cha DAKIKA 45 ambapo mtangazaji wenu Emmanuel Buhohela ameongea Read More. Hotuba ya Jaji Warioba katika kipindi cha Dakika 45. Kipindi cha Dakika 45. Sham Sham Za Pwani.
itv.co.tz
:: Katibu Mwenezi Wa Chadema Achukua Fomu Kugombea Ubunge Kupitia Actwazalendo
http://www.itv.co.tz/news/local/1669-21695/Katibu_mwenezi_wa_Chadema_achukua_fomu_kugombea_ubunge_kupitia_ACTwazalendo.html
Saturday, 27th August 2016. You are not logged in. Login. Katibu mwenezi wa Chadema achukua fomu kugombea ubunge kupitia ACT-wazalendo. Aliyelkuwa katibu mwenezi wa chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema katika wilayaya Butiama Bw Richard Choge Magori amekihama chama hicho kisha kuijunga na chama cha ACT wazalendo kabla ya kuteuliwa kwa ajili ya kugombea ubunge katika jimbo jipya la Butiama mkoani Mara. You are not logged in. Login. Be the first to comment. Sham Sham Za Pwani.
itv.co.tz
:: Watu Kutoka Faimilia Masikini Wakabiliwa Na Njaa Watumia Fedha Za Tasaf Monduli
http://www.itv.co.tz/news/local/1669-21573/Watu_kutoka_faimilia_masikini_wakabiliwa_na_njaa_watumia_fedha_za_TASAF_Monduli.html
Saturday, 27th August 2016. You are not logged in. Login. Watu kutoka faimilia masikini wakabiliwa na njaa watumia fedha za TASAF, Monduli. Watu kutoka familia masikini waliyo patiwa fedha za kupungumza ukali wa maisha kutoka TASAF katika wilaya ya Monduli wamesema wamelazimika kutumia fedha hizo kwa kununua chakula kwakuwa wanakabiliwa na njaa kali iliyo sababishwa na ukame unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi hivyo hawawezi kutumia fedha hizo kuanzisha miradi wakati wanakabiliwa na njaa.
itv.co.tz
:: Katibu Mkuu Wa Cuf Amesema Umoja Na Mshikamano Ndiyo Utakaoleta Ushindi Wa Kishindo Ndani Ya Ukawa
http://www.itv.co.tz/news/local/1669-21689/Katibu_mkuu_wa_CUF_amesema_umoja_na_mshikamano_ndiyo_utakaoleta_ushindi_wa_kishindo_ndani_ya_UKAWA.html
Saturday, 27th August 2016. You are not logged in. Login. Katibu mkuu wa CUF amesema umoja na mshikamano ndiyo utakaoleta ushindi wa kishindo ndani ya UKAWA. Katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF maalim Seif Sharif Hamad amesema umoja na mshikamano ndiyo utakaoleta ushindi wa kishindo ndani ya UKAWA hapo mwezi Octoba mwaka huu na kwamba hakuna mabadiliko yoyote yasiyokuwa na misuko suko hivyo amewataka wanachama wa CUF na wananchi kuwa watulivu kwani ukawa bado ni moja. Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman M...
itv.co.tz
:: Wagombea Ubunge Katika Maeneo Mbalimbali Hapa Nchini Kulalamikia Mchakato Wa Kura Za Maoni
http://www.itv.co.tz/news/local/1669-21637/Wagombea_ubunge_katika_maeneo_mbalimbali_hapa_nchini_kulalamikia_mchakato_wa_kura_za_maoni.html
Saturday, 27th August 2016. You are not logged in. Login. Wagombea ubunge katika maeneo mbalimbali hapa nchini kulalamikia mchakato wa kura za maoni . Sakata la baadhi ya wagombea ubunge katika maeneo mbalimbali hapa nchini kulalamikia mchakato wa kura za maoni kwa madai ya kutotendewa haki na kukiuka kanuni za uchaguzi limeendelea kutikisa. Katibu wa CCM Wilaya ya Namtumbo ambaye pia ni Mkurugenzi wa uchaguzi wa wilaya hiyo, Bwana ABDULAZIZ MOHAMED anasema hizo ni propaganda za wagombea na kwamba marudi...
itv.co.tz
:: Waziri Mkuu Mhpinda Ataka Kilimo Kibebe Uchumi Wa Nchi Na Wakulima Wadogo
http://www.itv.co.tz/news/local/1669-21686/Waziri_mkuu_MhPinda_ataka_kilimo_kibebe_uchumi_wa_nchi_na__wakulima_wadogo.html
Saturday, 27th August 2016. You are not logged in. Login. Waziri mkuu Mh.Pinda ataka kilimo kibebe uchumi wa nchi na wakulima wadogo. Kwa upande wao mtandao wa vikundi vya wakulima nchini mviwata wamesema sekta ya kilimo bado inakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wawekezaji wakubwa inayosababishwa ugawaji ardhi kiholela, migogoro baina ya wakulima na wafugaji pamoja na ukosefu wa masoko ya uhakika ya mazao huku wakitoa angalizo kuhusu ubora wa pembejeo zinazopatik...
dreamsnambitions.blogspot.com
DreamsNAmbitions: June 2007
http://dreamsnambitions.blogspot.com/2007_06_01_archive.html
Its All about Entertainment. sit back let me get that to ya! Wednesday, June 27, 2007. The Strip CLUB cheater. A wife decides to take her husband to a strip club for his birthday. They arrive at the club and the doorman says, "Hey, Dave! His wife is puzzled and asks if he's been to this club before. Oh, no," says Dave. "He's on my bowling team.". When they are seated, a waitress asks Dave if he'd like his usual and brings over a Budweiser. FuneRal Speech of the Year. The priest replied "I mean her legs".
rweyunga.blogspot.com
Rweyunga Blog: WIZARA YA UJENZI YAMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE
http://rweyunga.blogspot.com/2015/08/wizara-ya-ujenzi-yamuaga-rais-jakaya.html
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: 255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com. TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI. Jumapili, 16 Agosti 2015. WIZARA YA UJENZI YAMUAGA RAIS JAKAYA KIKWETE. Rais Jakaya Kikwete akihutubia wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi wakati wa hafla maalum ya kumuaga iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja. Waziri wa Ujenzi Dk.John Pombe Maguful...
rweyunga.blogspot.com
Rweyunga Blog: KALAPINA WA KIKOSI CHA MIZINGA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KINONDONI KWA TIKETI YA ACT WAZALENDO
http://rweyunga.blogspot.com/2015/08/kalapina-wa-kikosi-cha-mizinga-achukua.html
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: 255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com. TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI. Jumapili, 16 Agosti 2015. KALAPINA WA KIKOSI CHA MIZINGA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KINONDONI KWA TIKETI YA ACT WAZALENDO. Hapa akiwasili katika ofisi za mtendaji wa kata ya Kinondoni katika usafiri wa pikpiki. Akisalimia baadhi ya watu waliokuwa eneo la tukio.