michaelngilangwa.blogspot.com
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:: MUHASHAMU ASKOFU WA JIMBO LA LINDI BRUNO NGONYANI AMEZINDUA KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU LINALOFANYIKA JIMBO LA NJOMBE JANA..
http://michaelngilangwa.blogspot.com/2013/07/muhashamu-askofu-wa-jimbo-la-lindi.html
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:. Monday, July 1, 2013. MUHASHAMU ASKOFU WA JIMBO LA LINDI BRUNO NGONYANI AMEZINDUA KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU LINALOFANYIKA JIMBO LA NJOMBE JANA. WATOTO WA KIPAPA WAKIWA KWENYE KONGAMANO HILO HAPO JANA. MUHASHAMU ASKOFU WA JIMBO LA LINDI AMBAE ALIKUWA MGENI RASMI HAPO JANA NA KUZINDUA KONGAMANO HILO LA WATOTO. MAPADRE KUTOKA MKOA WA IRINGA. MAPADRE WA JOMBO LA NJOMBE. MKURUGENZI WA VIJANA NA WATOTO JIMBO LA NJOMBE PADRE CLEMENT MGOHELE AKITOA NASAHA KWA WATOTO HAO. Akizung...
michaelngilangwa.blogspot.com
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:: MABOMU YALINDIMA KILA MJINI NJOMBE. NI BAADA YA WANANCHI KUANDAMANA KUPINGA POLISI KUUA RAIA MAGARI YAZUIWA, MADUKA YAFUNGWA.
http://michaelngilangwa.blogspot.com/2015/05/mabomu-yazizima-leo-njombe-baada-ya.html
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:. Wednesday, May 20, 2015. MABOMU YALINDIMA KILA MJINI NJOMBE. NI BAADA YA WANANCHI KUANDAMANA KUPINGA POLISI KUUA RAIA MAGARI YAZUIWA, MADUKA YAFUNGWA. Wananchi Wakiwa Barabarani Wakielekea Kibena Wakiwa Kwenye Maandamano Makubwa Kuelekea Kibena Hospitali Kuangalia Mwili Wa Marehemu Pamoja Na Majeruhi. WANANCHI WAKIELEKEA HOSPITALI YA KIBENA KWA MAANDAMANO HUKU WAKIIMBA NYIMBO. MSURURU WA MAGARI BAADA YA KUONA WANANCHI WAKO MBELE NA BARABARA IMETAWALIWA NA WAO WENYEWE. HAPA ...
michaelngilangwa.blogspot.com
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:: JESHI LA POLISI MKOA WA NJOMBE LINAMSHIKILIA MAMA MMOJA KWA TUHUMA ZA KUMTUPA MTOTO MCHANGA BAADA YA KUJIFUNGUA HUKU MMOJA AKISHIKILIWA KWA UBAKAJI.,WAWILI WAFARIKI KWA AJALI
http://michaelngilangwa.blogspot.com/2013/06/jeshi-la-polisi-mkoa-wa-njombe.html
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:. Monday, June 24, 2013. JESHI LA POLISI MKOA WA NJOMBE LINAMSHIKILIA MAMA MMOJA KWA TUHUMA ZA KUMTUPA MTOTO MCHANGA BAADA YA KUJIFUNGUA HUKU MMOJA AKISHIKILIWA KWA UBAKAJI.,WAWILI WAFARIKI KWA AJALI. KAIMU KAMANDA WA JESHI LA POLISI MKOA WA NJOMBE FOCAS MALENGO AKIWA OFISINI KWAKE. MTOTO ALIYETUPWA NA MAMA YAKE AMBAE ALIKUWA MUUZAJI WA POMBE ZA KISASA KWENYE BAR MOJA ILIYOPO JIRANI NA NYUMBANI KWAKE MTAA WA NATIONAL HOUSING MJINI NJOMBE. Amesema Ajali Hiyo Imetokea Juni 22 M...
michaelngilangwa.blogspot.com
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:: RIPOTI KAMILI YA KUHUSU HALI MBAYA YA BARABARA ZA TANROADS MKOA WA IRINGA ,WILAYA TAJIRI YA MUFINDI BARABARA ZAKE NI KICHEFU CHEFU .
http://michaelngilangwa.blogspot.com/2013/03/ripoti-kamili-ya-fg-blogu-kuhusu-hali.html
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:. Thursday, March 28, 2013. RIPOTI KAMILI YA KUHUSU HALI MBAYA YA BARABARA ZA TANROADS MKOA WA IRINGA ,WILAYA TAJIRI YA MUFINDI BARABARA ZAKE NI KICHEFU CHEFU . Hili ni shimo lililopo umbali wa Km 1 kutoka mjini Mafinga jirani na Kanisa la RC Mafinga mjini. Hapa ni eneo la njiapanda ya Lutheran Mafinga barabara ya Mafinga - Kibao. Hili ni shimo lililopo jirani na njiapanda ya Isupilo Mufindi - Kibao jimbo la Mahamudu Mgimwa. Hapa ni jirani na JKT Mafinga. Mufindi inaongoza kw...
michaelngilangwa.blogspot.com
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:: MWILI WA MAREHEMU MEXON NYEKELELA CHOTA ULIOZAMA KWENYE MAJI KATIKA BWAWA LA KAMPUNI TANWAT UMEPATIKANA BAADA YA SIKU TANO KUPITA TANGU UZAME NA MAZISHI KUFANYIKA JANA HIYOHIYO KATIKA MTAA WA KIBENA MJINI NJOMBE.
http://michaelngilangwa.blogspot.com/2013/03/mwili-wa-marehemu-mexon-nyekelela-chota.html
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:. Tuesday, March 5, 2013. MWILI WA MAREHEMU MEXON NYEKELELA CHOTA ULIOZAMA KWENYE MAJI KATIKA BWAWA LA KAMPUNI TANWAT UMEPATIKANA BAADA YA SIKU TANO KUPITA TANGU UZAME NA MAZISHI KUFANYIKA JANA HIYOHIYO KATIKA MTAA WA KIBENA MJINI NJOMBE. Viongozi wa mitaa ya kibena akiwemo Pasval kaduma na faustin Mwenda na mwenyekiti mpeto. Picha ya zamani ya marehemu Chota. JITIHADA ZA WANANCHI WAKATI ZILIPOKUWA ZINAFANYIKA ZA KUUTAFUTA MWILI WA MAREHEMU MEXON CHOTA. AFISA TARAAFA WA NJOMB...
michaelngilangwa.blogspot.com
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:: AFISA MTENDAJI WA KATA IKUNA APIGA MARUFUKU WANANCHI WA KATA HIYO KUUZA NA KUTUMIA POMBE ASUBUHI KINYUME CHA SHERIA,BIASHARA ZA POMBE,KUCHEZA POOL TABLE NA KAMALI.
http://michaelngilangwa.blogspot.com/2013/01/afisa-mtendaji-wa-kata-ikuna-apiga.html
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:. Monday, January 28, 2013. AFISA MTENDAJI WA KATA IKUNA APIGA MARUFUKU WANANCHI WA KATA HIYO KUUZA NA KUTUMIA POMBE ASUBUHI KINYUME CHA SHERIA,BIASHARA ZA POMBE,KUCHEZA POOL TABLE NA KAMALI. Afisa mtendaji wa kata ya Ikuna bwana Job Fute akipiga marufuku biashara ya pombe asubuhi katika kijiji cha Matiganjola Jana. Mamia ya wakazi wa kijiji cha Matiganjola wajitokeza kumsikiliza afisa mtendaji wa kata ya Ikuna bwana Job Fute baada ya kuhamishwa toka kata ya Igwachanya. Atiga...
michaelngilangwa.blogspot.com
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:: AJALI MBAYA IMETOKEA LEO MAJIRA YA SAA KUMI NA MBILI JIONI ENEO LA TFA NJOMBE MJINI
http://michaelngilangwa.blogspot.com/2013/10/ajali-mbaya-imetokea-leo-majira-ya-saa.html
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:. Sunday, October 13, 2013. AJALI MBAYA IMETOKEA LEO MAJIRA YA SAA KUMI NA MBILI JIONI ENEO LA TFA NJOMBE MJINI. MASHUHUDA WA AJALI HIYO WAKIENDELEA KUJIULIZA JUU YA KUTOKEA KWA AJALI HIYO AMBAYO IMESABABISHWA NA KILE KILICHODAIWA NI KUKATIKA KWA BREKI ZA GARI HILO KUANZIA ENEO LA CHAUGINGI MPAKA KUSABABISHA AJALI HILO NA HAKUJA ALIYEPOTEZA MAISHA. Subscribe to: Post Comments (Atom). View my complete profile. 160;WATOTO WA KIPAPA WAKIWA KWENYE KONGAMANO HILO HAPO JANA MU.
michaelngilangwa.blogspot.com
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:: WAZIRI MKUU PINDA ASHANGAA WANAOHAMA CHAMA BAADA YA KUSHINDWA
http://michaelngilangwa.blogspot.com/2015/08/waziri-mkuu-pinda-ashangaa-wanaohama.html
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:. Wednesday, August 12, 2015. WAZIRI MKUU PINDA ASHANGAA WANAOHAMA CHAMA BAADA YA KUSHINDWA. Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na wakulima na wananchi wa mikoa ya Kanda ya Nyanda za juu kusini wakati akifunga maonesho ya sherehe za wakulima Nanenane katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya Agost 8 ,2015b .Picha Jamiimojablog. Waandishi wa habari wakiwa kazini. Amesema busara nzuri ni kukubali matokeo hayo badala ya kuhama chama kama walivyo fanya baadhi ya makada w...
michaelngilangwa.blogspot.com
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:: BELE 9 AKIWA SABASABA MJINI NJOMBE LEO AKIWA NA WASANII WA MZIKI WA KIZAZI KIPYA.
http://michaelngilangwa.blogspot.com/2013/05/bele-9-akiwa-sabasaba-mjini-njombe-leo.html
MATUKIO NA NGILANGWA MICHAEL:. Saturday, May 11, 2013. BELE 9 AKIWA SABASABA MJINI NJOMBE LEO AKIWA NA WASANII WA MZIKI WA KIZAZI KIPYA. BELLE 9 AKIWA UWAJA WA SABASABA KWAAJILI YA KUONESHA SHOW KWA WAPENZI WAKE . YANG D NDANI YA UWANJA WA SABASABA. YANG D AKIONESHA BURUDANI NDANI YA UWANJA WA SABASABA. Subscribe to: Post Comments (Atom). View my complete profile. MUHASHAMU ASKOFU WA JIMBO LA LINDI BRUNO NGONYANI AMEZINDUA KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU LINALOFANYIKA JIMBO LA NJOMBE JANA. Wananchi Wakiwa&#...
SOCIAL ENGAGEMENT