mwokozi.com
Mwokozi.comTovuti ya Mwokozi.com ni huduma ya mafundisho kwa makanisa mengi ya Afrika mashariki. Yanachapisha makala na mafundisho kwa kila mtu kuhusu maisha ya Kikristo.
http://www.mwokozi.com/
Tovuti ya Mwokozi.com ni huduma ya mafundisho kwa makanisa mengi ya Afrika mashariki. Yanachapisha makala na mafundisho kwa kila mtu kuhusu maisha ya Kikristo.
http://www.mwokozi.com/
TODAY'S RATING
>1,000,000
Date Range
HIGHEST TRAFFIC ON
Saturday
LOAD TIME
2.6 seconds
Andreas Lueling
Brand●●●●●en 21
We●●er , 58300
DE
View this contact
Andreas Lueling
Brand●●●●●en 21
We●●er , 58300
DE
View this contact
Cronon AG Professional IT-Services
Hostmaster Strato Rechenzentrum
Emmy-No●●●●●●●Str. 10
Kar●●●uhe , 76131
DE
View this contact
15
YEARS
4
MONTHS
0
DAYS
CRONON AG
WHOIS : whois.cronon.net
REFERRED : http://www.cronon.net
PAGES IN
THIS WEBSITE
0
SSL
EXTERNAL LINKS
11
SITE IP
81.169.145.68
LOAD TIME
2.641 sec
SCORE
6.2
Mwokozi.com | mwokozi.com Reviews
https://mwokozi.com
Tovuti ya Mwokozi.com ni huduma ya mafundisho kwa makanisa mengi ya Afrika mashariki. Yanachapisha makala na mafundisho kwa kila mtu kuhusu maisha ya Kikristo.
Je BIBLIA inasemaje: Wakati Ujao wa Mwanadamu.
Ndugu waheshimiwa Mabibi na Mabwana,. Pasipo shaka yoyote, maadili ya Kikristo yamesababisha mtizamo wa jamii kuhusu mwanamke kubadilika na kuwa bora zaidi. Kutokana na mabadiliko ya kidemokrasia yanayoendelea katika mataifa mbalimbali, maendeleo na usitawi katika kila nchi yanapimwa kwa kuangalia nafasi za wanawake kiutawala katika nchi au jamii husika. Hali kadhalika katika waraka wa Warumi tunakutana na maneno yasemayo, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe (Warumi 12:20).
Je BIBLIA inasemaje: Biblia inaweza kuaminiwa na kutegemewa.
http://biblia-inasemaje.mwokozi.com/biblia_inaweza_kuaminiwa_na_kutegemewa.html
02 Biblia inaweza kuaminiwa na kutegemewa. Ndani ya Biblia kuna kweli zinazoeleweka kirahisi, na pia ziko kweli zingine ambazo wanadamu kutokana na ubinadamu wao, wanashindwa kuzielewa. Wakati fulani mpinzani mmoja wa Biblia alimweleza mwandishi mmoja wa habari ndugu Mark Twain kuwa, anasumbuka kutokana na kutoelewa mambo mengi yaliyoandikwa katika Biblia. Ndugu Mark Twain naye akamjibu kwa kusema, ndugu yangu, mimi ninasumbuliwa na mambo ambayo nimekutana nayo katika Biblia na kuyaelewa!
Je BIBLIA inasemaje: Mafundisho ya Biblia kuhusu Mwisho wa Dunia.
http://biblia-inasemaje.mwokozi.com/mafundisho_kuhusu_mwisho_wa_dunia.html
06 Mafundisho ya Biblia kuhusu Mwisho. Mpaka kufikia hapa tumeangalia matokeo machache yaliyotabiriwa katika Biblia, kama ishara za siku za mwisho. Kutokea kwa dalili hizi kunatuwezesha kuelewa kukaribia kwa siku Kristo atakaporudi duniani. Jambo la kuzingatia hapa ni kuwa dalili tlizoziongelea sizo zinazoitwa siku za mwisho. Kile tunachojifunza ni kuwa dalili hizi, ni mwanzo tu wa uchungu na maumivu kwa wote waliokataa kuziamini habari njema ya Yesu Kristo (Mathayo 24:8). Kipindi cha dhiki kuu. Kulingan...
Je BIBLIA inasemaje: Uamuzi wenye busara.
http://biblia-inasemaje.mwokozi.com/uamuzi_wenye_busara.html
08 Uamuzi wenye busara. Yesu alipokuja alizungumza maneno yanayofanana na haya pale aliposema: Tazama nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, yeye pamoja nami (Ufunuo 3:20). Mungu mwenyezi, mimi ni mwenye dhambi na sina uwezo wa kuziondoa, wala dini yangu haina uwezo wa kuziondoa. Naamini juu ya dhabihu uliyoitoa yaani Yesu Kristo mwana wako mpendwa. Kwa hiari yangu namkubali awe Bwana na mwokozi wangu binafsi. Nat...05 Matuki...
Je BIBLIA inasemaje: Wakati Ujao wa Mwanadamu.
http://biblia-inasemaje.mwokozi.com/index.html
Ndugu waheshimiwa Mabibi na Mabwana,. Pasipo shaka yoyote, maadili ya Kikristo yamesababisha mtizamo wa jamii kuhusu mwanamke kubadilika na kuwa bora zaidi. Kutokana na mabadiliko ya kidemokrasia yanayoendelea katika mataifa mbalimbali, maendeleo na usitawi katika kila nchi yanapimwa kwa kuangalia nafasi za wanawake kiutawala katika nchi au jamii husika. Hali kadhalika katika waraka wa Warumi tunakutana na maneno yasemayo, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe (Warumi 12:20).
Je BIBLIA inasemaje: Matukio Yanayoelezea Kurudi kwa Yesu Kristo.
http://biblia-inasemaje.mwokozi.com/matukio_yanayoelezea_kurudi_kwa_yesu_kristo.html
05 Matukio Yanayoelezea Kurudi kwa Bwana Yesu Kristo. Kurudi kwa Yesu Kristo duniani ni sehemu ya mpango wa Mungu kuhusu wokovu wa wanadamu na pia ni swala linalozungumziwa sana katika vizazi mbalimbali. Hata mtume Petro alimuuliza Yesu Kristo swali hili miaka elfu mbili iliyopita. Tuambie, mambo hayo yatakuwa lini? Nayo ni nini dalili ya kuja kwako, na ya mwisho wa dunia (Mathayo 24:3). Hata hivyo kutokana na umuhimu wa mambo haya kwa kila wanadamu, Yesu Kristo hakuwaacha wanafunzi wake katika giza kuhu...
Je BIBLIA inasemaje: Mwisho wa hotuba.
http://biblia-inasemaje.mwokozi.com/mwisho_wa_hotuba.html
07 Mwisho wa hotuba. 01 Yesu Kristo na mafundisho yake. 02 Biblia inaweza kuaminiwa na kutegemewa. 03 Biblia na Sayansi. 04 Unabii katika Biblia. 05 Matukio Yanayoelezea Kurudi kwa Yesu. 06 Mafundisho kuhusu Mwisho wa Dunia. 07 Mwisho wa Hotuba. 08 Uamuzi wenye Busara. Kitabu hiki kinapatikana bila malipo kwenye faili zima: PDF.
Je BIBLIA inasemaje: Biblia na Sayansi.
http://biblia-inasemaje.mwokozi.com/biblia_na_sayansi.html
03 Biblia na Sayansi. Kwa kuwa matokeo ya tafiti za kisayansi yanathibitisha habari zinazopatikana katika Biblia, inaonyesha wazi kuwa sayansi, inathibitisha kuwa habari zinazopatikana katika Biblia ni za kweli. Ukweli huu unatupa kuamini habari zote tunazokutana nazo katika Biblia. Tunapotafakari upekee wa Biblia, tunaweza kuelewa sababu zinazowafanya watu mashuhuri kuiheshimu na kuipenda, kuliko vitabu vingine vilivyoko chini ya jua. Yafuatayo ni maelezo mafupi ya mtu aliyeipenda Biblia lic...
Je BIBLIA inasemaje: Yesu Kristo na mafundisho yake.
http://biblia-inasemaje.mwokozi.com/kristo_na_mafundisho_yake.html
01 Yesu Kristo na mafundisho yake. Je, Yesu Kristo pamoja na mafundisho yake anatuhusu vipi katika nchi yetu? Je, taifa letu linawiwa nini na Ukristo? Yesu alilijibu swali hili katika Injili ya Yohana Yesu kwa kusema: Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima (Yohana 14:6). Andiko hili limebeba ukweli wa kipekee kuhusu asili yake, mafundisho aliyoyatoa, umishenari wake na kazi ya ukombozi aliyoifanya kama Mwana wa Mungu aliye Hai. Asili peke yake pamoja na habari zote za kweli zinazomhusu, ndiyo ni Biblia.
Je BIBLIA inasemaje: Unabii katika Biblia.
http://biblia-inasemaje.mwokozi.com/unabii_katika_biblia.html
04 Unabii katika Biblia. Ili kutoa mwanga zaidi kuhusu nabii za kibiblia ambazo kutimia kwake kumethibitishwa na maelezo ya historia pamoja na uvumbuzi wa kisayansi nitataja baadhi ya nabii hizo. Biblia inasema wazi kuwa maswala yote yanayohusu ulimwengu, uhai na mwanadamu yako mikononi mwa Muumbaji. Vitu vyote vimeumbwa katika hali ya ukamilifu na kuwepo kwake kunaongozwa na utaratibu unavyoendana na jinsi vilivyoumbwa pamoja na makusudi yaliyosababisha uumbaji huo. Kuangamizwa kwa mji wa Ninawi. Kufuat...
TOTAL LINKS TO THIS WEBSITE
11
Mystic Warriors of Ka'ah
Sunday, November 22, 2009. Preview: Mystic Warriors of Ka'ah. About a week ago I had an idea. I'm a big fan of the Big Bang Theory. From now on referred as BBT) TV series, and I have also been playing Magic: The Gathering. Since 1994. On the 5th episode of the 3rd season, the plot circles around Sheldon and Raj playing in a card game tournament against former Star Trek actor Will Wheaton. the card game's name is "Mystic Warriors of Ka'ah". Everyone: please don't sue me. Subscribe to: Posts (Atom).
mwokaji | My joy for baking, the dream and the fruits of my labour
My joy for baking, the dream and the fruits of my labour. Converting the dream into reality – Opening and running a cake business in Nairobi,Kenya – Part 1. August 22, 2014. Turning the Dream into Reality Dreaming about opening a Cake shop, is easier said than done, Actually purposing to make the steps to set us is a whole totally different matter. Bear with me as I share my journey of how I turned my passion/side hustle into the growing business it is today! Ever felt […]. June 11, 2014. May 29, 2014.
MWOKAJI CAKERY | Cupcakes – Cookies – Cakes in Los Angeles
About Us & Contact. Terms & Conditions. We aim to create artistic and elegant wedding cakes. A once in a lifetime cake for your once in a lifetime love story. Mwokaji Cakery is here to help make your special day delicously unforgettable. A perfect addition to any grand event. The French Macaron is a gluten-free, almond-based sandwich cookie filled with jam or a creamy filling. A delicate cookie that has been around for centuries, hand-crafted for your celebration. Cakes In A Jar. Blog - What's New?
Midwest Okinawan Karate
Welcome to Midwest Okinawan Karate. We are the Missouri Branch of Okikukai West. We invite you to visit and take a look at our website. There are many reasons you might be interested in training, so please take a look and see if our style is what you're looking for. If strong, dynamic martial arts is what you're seeking, then you have found the right place.
MWO The Killer Bees. Death by paper cuts.
Mwokozi.com
Kwa Nini Niwe Mkristo? Katika kipindi hiki cha machafuko na uovu wa kiroho na kimwili, kitabu hiki cha ndugu Waldemar Sardaczuk kinatarajiwa kuonyesha maana ya kuwa mfuasi wa kweli wa Yesu. Sanjari na swali hili, jiulize kibinafsi, ikiwa u Mkristo au la. Kama una uhakika na Ukristo wako, ilitokeaje hata ukawa Mkristo? Hali kadhalika, hebu jiulize ikiwa kuna tofauti yoyote iliyo wazi, kati yako na watu wengine wasio Wakristo. Je, unaweza kuwaelezea wengine kwa kina kuhusu Ukristo wako? Kama unaweza kufany...
Mwokozii (Marissa Redding 0ᴥ0) - DeviantArt
Window.devicePixelRatio*screen.width 'x' window.devicePixelRatio*screen.height) :(screen.width 'x' screen.height) " class="mi". Window.devicePixelRatio*screen.width 'x' window.devicePixelRatio*screen.height) :(screen.width 'x' screen.height) ". Join DeviantArt for FREE. Forgot Password or Username? Plausible, but not Probable. Marissa Redding 0ᴥ0. A New Dawn of Big Cat artists. Deviant for 5 Years. 3 Month Core Membership. Marissa Redding 0ᴥ0. October 2, 1993. I don't care about pageviews! Why," you ask?
Mwokozis-Pride - DeviantArt
Window.devicePixelRatio*screen.width 'x' window.devicePixelRatio*screen.height) :(screen.width 'x' screen.height) " class="mi". Window.devicePixelRatio*screen.width 'x' window.devicePixelRatio*screen.height) :(screen.width 'x' screen.height) ". Join DeviantArt for FREE. Forgot Password or Username? A New Dawn of Big Cat artists. Founded 4 Years ago. Founded 4 Years ago. Aug 12, 2011. A New Dawn of Big Cat artists. Div div.gmbutton2town a:hidden').clone().appendTo('#super-secret-buttons .g...This group de...
Illustration & Design by Marshall Woksa
Use the form on the right to contact us. You can edit the text in this area, and change where the contact form on the right submits to, by entering edit mode using the modes on the bottom right. 123 Street Avenue, City Town, 99999. You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab. Link to read me page.
mwol-admin97 (Paul Lopez) - DeviantArt
Window.devicePixelRatio*screen.width 'x' window.devicePixelRatio*screen.height) :(screen.width 'x' screen.height) ; this.removeAttribute('onclick')" class="mi". Window.devicePixelRatio*screen.width 'x' window.devicePixelRatio*screen.height) :(screen.width 'x' screen.height) ; this.removeAttribute('onclick')". Join DeviantArt for FREE. Forgot Password or Username? Digital Art / Hobbyist. Deviant for 4 Years. This deviant's full pageview. Last Visit: 245 weeks ago. You can drag and drop to rearrange. Windo...
mwol.cn