mjasiliamali.blogspot.com
Dmgody the warrior
http://mjasiliamali.blogspot.com/2013/10/picha-za-red-carpet-2013-bet-hip-hop.html
News,Entertainments and Advertisement. Tangaza Biashara yako hapa kwa bei nafuu wasilana nasi kupitia 0712 455 139 au 0687 233 209 wote mnakaribishwa. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through 255 712 455 139 or 255 687 233 209 your all welcome. Advertise your Business here at very cheap price Contact us through 255 712 455 139 or 255 687 233 209 your all welcome. PICHA ZA RED CARPET 2013 BET HIP HOP AWARDS. Rick Ross – Reebok Shaq Attaq ‘Big Shaqtus’. Bizzy Bone – Air Jor...
ramozaone.blogspot.com
RUSHA ROHO: THANIA MSOMALI AJA NA 'HIVI NDIVYO NILIVYO'
http://ramozaone.blogspot.com/2015/02/thania-msomaji-ana-na-hivi-ndivyo.html
KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com. Tuesday, February 3, 2015. THANIA MSOMALI AJA NA 'HIVI NDIVYO NILIVYO'. MIEZI michache baada ya kujiengua katika kundi la Mashauzi Classic, mwimbaji machachari na mwenye sauti maridhawa ya ndege mnana, Thania Msomali ameibuka na kibao kipya kinachokwenda kwa jina la Hivi ndivyo nilivyo. Binti huyo amesema kibao hicho ni maandalizi ya ujio wa albamu yake ya kwanza, anayotarajia kuitoa mwaka huu.
khalfansaid.blogspot.com
LOWASSA ATUZA ZANZIBAR, AHUTUBIA MAELFU VIWANJA VYA KIBANDA MAITI ~ K-VIS BLOG
http://khalfansaid.blogspot.com/2015/08/lowassa-atuza-zanzibar-ahutubia-maelfu.html
Monday, 17 August 2015. LOWASSA ATUZA ZANZIBAR, AHUTUBIA MAELFU VIWANJA VYA KIBANDA MAITI. Posted by KHALFAN SAID on 08:31 1 comment. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akihutubia Mkutano wa hadhara wa kutafuta wadhamini wa Tume ya Uchaguzi (NEC) na kutambulishwa kwa wananchi wa Zanzibar, uliofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti leo Agosti 17, 2015. Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano w...
khalfansaid.blogspot.com
MSICHANA WA KAZI ALIYEMTESA MTOTO AFUNGULIWA MASHATAKA YA JARIBIO LA MAUAJI ~ K-VIS BLOG
http://khalfansaid.blogspot.com/2014/11/msichana-kazi-aliyemtesa-mtoto.html
Monday, 24 November 2014. MSICHANA WA KAZI ALIYEMTESA MTOTO AFUNGULIWA MASHATAKA YA JARIBIO LA MAUAJI. Posted by KHALFAN SAID on 02:39. Baba mwenye mtoto, Erick Kamanzi, (Kushoto), akiwa na watoto wake, Kulia ni mtoto wa miaka 2 aliyepigwa na kuteswa na msichana wa kazi huko Uganda. Hata hivyo polisi wanatoa pendekezo jipya kwa mwendesha mashtaka nchini Uganda, ili mashtaka hayo yabadilishwe na kuwa ya kujaribu kuua. Kitendo cha mtoto huyo kutapika, kilichokoza mikono ya msichana huyo, aliyeanza kumzaba ...
ramozaone.blogspot.com
RUSHA ROHO: MASHAUZI: NYIMBO ZANGU ZA DANSI ZIMEPOKELEWA VIZURI
http://ramozaone.blogspot.com/2015/04/mashauzi-nyimbo-zangu-za-dansi.html
KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com. Wednesday, April 29, 2015. MASHAUZI: NYIMBO ZANGU ZA DANSI ZIMEPOKELEWA VIZURI. MTUNZI na mwimbaji nyota wa muziki wa taarab nchini, Isha Ramadhani 'Mashauzi' amekiri kuwa, uamuzi wake wa kuimba nyimbo za miondoko ya dansi umepokelewa vizuri na mashabiki wake. Kutokana na mafanikio hayo, Isha amesema anatarajia kurekodi albamu yake binafsi yenye nyimbo sita za muziki wa dansi. Isha amesema ka...
ramozaone.blogspot.com
RUSHA ROHO: DAR MODERN TAARAB KUFANYA ZIARA MIKOA SITA
http://ramozaone.blogspot.com/2015/05/dar-modern-taarab-kufanya-ziara-mikoa.html
KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com. Monday, May 11, 2015. DAR MODERN TAARAB KUFANYA ZIARA MIKOA SITA. KIKUNDI cha taarab cha Dar Modern, kinatarajia kufana ziara katika mikoa sita nchini kwa lengo la kutambulisha ujio wake mpya katika muziki huo. Ziara hiyo, iliyopewa jina la Modenika na Dar Modern, italifikisha kundi hilo katika mikoa ya Rukwa, Katavi, Dodoma, Morogoro na Dar. Emmanuel amewataka mashabiki wa taarab kujitokeza ...
samberjr.blogspot.com
Haya ndiyo majina ya wasanii yaliyopo kwenye picha aliyopewa zawadi Rais Kikwete ~ Samber Junior
http://samberjr.blogspot.com/2015/08/haya-ndiyo-majina-ya-wasanii-yaliyopo.html
Hii Ndiyo Pete LInex Aliyomvisha Mchumba Wake. Friday, August 7, 2015. Haya ndiyo majina ya wasanii yaliyopo kwenye picha aliyopewa zawadi Rais Kikwete. Muungano wa wasanii Tanzania August 06 walikutana na Rais Jakaya Kikwete. Pamoja na Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt John Magufuli. Kwa ajili ya chakula cha usiku pamoja na kuzungumza kuhusu sanaa ya Tanzania. Rais Jakaya Kikwete pamoja na Dkt.Magufuli. Zawadi ya picha yake ikiwa na majina ya wasanii wote wa Tanzania. 160; Hii ni ...
samberjr.blogspot.com
Michezo ~ Samber Junior
http://samberjr.blogspot.com/p/michezo.html
Hii Ndiyo Pete LInex Aliyomvisha Mchumba Wake. Sell music on Amazon at ReverbNation.com. Jumba la Maajabu linavyochochea utalii Zanzibar. KATIKA kipindi cha sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya watalii wa nje na wa ndani wanaongezeka katika visiwa vya Zanzibar kutembelea vivut. NEW VIDEO: SIDE BOY FT BEST NASO-HUJAFA HUJAUMBIKA. 160; . NEW AUDIO TRACK: EVERYDAY - GOSBY. NEW TRACK: Nuh Darstamina ft Alikiba - Niacheni. VIDEO: Joti ni shidaa, hebu tazama hili tangazo la Tigo. TANGAZO...
SOCIAL ENGAGEMENT