matukiouk.blogspot.com
MATUKIO UK: WAZIRI Mkuu Wa Zamani Mh. Edward Lowassa Kuomba Kuwania Urais Kupitia CHADEMA
http://matukiouk.blogspot.com/2015/07/waziri-mkuu-wa-zamani-mh-edward-lowassa.html
Thursday, July 30, 2015. WAZIRI Mkuu Wa Zamani Mh. Edward Lowassa Kuomba Kuwania Urais Kupitia CHADEMA. WAZIRI Mkuu wa zamani Mh. Edward Lowassa, (kulia), akionyesha mkoba wenye fomu za kuomba kuwania urais kupitia CHADEMA, baada ya kukabidhiwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Mh. Freeman Mbowe, kwenye makao makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaam, leo Julai 30, 2015. Mh Lowassa, alijiunga hivi karibuni na chama hicho, baada ya kujitoa CCM. Lowassa akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Chadema.
tanganyika2day.blogspot.com
Tanganyika2day: VIDEO YA HALI ILIVYOKUWA BAADA YA MLIPUKO VIWANJA VYA SOWETO, ARUSHA
http://tanganyika2day.blogspot.com/2013/06/video-ya-hali-ilivyokuwa-baada-ya.html
Vide 1 1 video. Thursday, 20 June 2013. VIDEO YA HALI ILIVYOKUWA BAADA YA MLIPUKO VIWANJA VYA SOWETO, ARUSHA. Tukio hili la lilitokea siku ya Jumamosi,15 June 2013 kwenye viwanja vya Soweto, Arusha, kwenye mkutano wa CHADEMA kukamilisha kampeni za udiwani, ambapo watu kadhaa walipoteza maisha. Tahadhari: Picha zilizo rekodiwa zinatisha. Posted by Tanganyika 2Day. Subscribe to: Post Comments (Atom). Feel free to be part of this blog and kindly inform others to join too. Endelea kupata uondo.'. WAFANYAKAZI...
tanganyika2day.blogspot.com
Tanganyika2day: WACHAWI WAKAMATWA BAADA YA UNGO KUPATA HITILAFU ZA KIUFUNDI
http://tanganyika2day.blogspot.com/2012/05/wachawi-wakamatwa-baada-ya-ungo-kupata.html
Vide 1 1 video. Monday, 21 May 2012. WACHAWI WAKAMATWA BAADA YA UNGO KUPATA HITILAFU ZA KIUFUNDI. Huko Mwanza vijana wawili wenye imani za kichawi wamekamatwa baada ya ungo a.k.a chombo cha usafiri na matunguri kukwama. Vijana hawa walitumwa na wakuu wao kwenda kuchukua watu watatu a.k.a cargo ili wakatolewe kafara. Posted by Tanganyika 2Day. Subscribe to: Post Comments (Atom). Feel free to be part of this blog and kindly inform others to join too. Ukiwa na maoni tafadhali tuma kupitia. Mkutano hadh...
tanganyika2day.blogspot.com
Tanganyika2day: UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME - SABABU ZAKE
http://tanganyika2day.blogspot.com/2013/01/upunguzu-wa-nguvu-za-kiume-sababu-zake.html
Vide 1 1 video. Thursday, 10 January 2013. UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME - SABABU ZAKE. Kama ndio je: huwa unaoga kwa kutumia maji moto? Unakulaga chips, sausage,barger, nyama na maziwa kwa wingi na unapakataga laptop yako mapajani? Wataalamu wanaendelea na utafiti wao na wametoa baadhi vitu vinavyochangia upungufu wa nguvu za kiume. Sababu ya kudhoofika kwa mbegu zimetajwa kuwa ni kubadilika kwa hali ya maisha na mazingira. Posted by Tanganyika 2Day. Subscribe to: Post Comments (Atom). Ukiwa na maoni tafad...
ndgshilatu.blogspot.com
VIGOGO ZAIDI WA CCM NA SERIKALI WAZIDI KUIKIMBIA CCM NA KUJIUNGA NA CHADEMA | EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
http://ndgshilatu.blogspot.com/2015/08/vigogo-zaidi-wa-ccm-na-serikali-wazidi.html
KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com . Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light. VIGOGO ZAIDI WA CCM NA SERIKALI WAZIDI KUIKIMBIA CCM NA KUJIUNGA NA CHADEMA. VIGOGO ZAIDI WA CCM NA SERIKALI WAZIDI KUIKIMBIA CCM NA KUJIUNGA NA CHADEMA. Waliojiunga na CHADEMA ARUSHA :. 1Lawrence Masha anakabidhiwa kadi na Mbowe (waziri w zamani wa mambo ya ndani). 2Daniel Porokwa - katibu wa ccm Manyara. On Saturday, August 15, 2015.
kibunango.blogspot.com
Vituko Vya Zenj: Wakifanya Yao...
http://kibunango.blogspot.com/2015/02/wakifanya-yao.html
Kisiwa cha Zanzibar kimejaaliwa kuwa na kila aina ya vituko na migongano ya aina kwa aina. Kwa ufupi napenda kutoa maoni yangu juu ya vituko hivyo, aidha kujua wengine wanamtazamo gani kuhusu vituko hivyo. Friday, 6 February 2015. Kobe ( Aldabra giant tortoise. Katika kisiwa cha Changuu( Prison Island. Posted by Che Guevara Mwakanjuki. Subscribe to: Post Comments (Atom). There was an error in this gadget. Promote your Page too. There was an error in this gadget. Kendwa Rock Beach Hotel Yaungua Moto.
matukiouk.blogspot.com
MATUKIO UK: GAZETI LA IJUMAA WIKIENDA LEO
http://matukiouk.blogspot.com/2013/07/gazeti-la-ijumaa-wikienda-leo.html
Monday, July 15, 2013. GAZETI LA IJUMAA WIKIENDA LEO. MADAWA YA KULEVYA. BINTI KIZIWI JELA MIAKA 5. MTANDAO wa wauza madawa ya kulevya unazidi kupukutika Bongo kufuatia madai ya kukamatwa kwa watu wanaodaiwa kujishughulisha na ubebaji ‘punda…. Monday, July 15, 2013. Thursday, 5 December 2013 at 07:49:00 GMT. Subscribe to: Post Comments (Atom). EMAIL - matukiouk@london.com. Http:/ www.bongo5.com. Http:/ www.cloudsfm.co. Http:/ www.jamiiforums.com (FORUMS). Http:/ www.mzalendo.net. Le Big Show anaandika kw...
matukiouk.blogspot.com
MATUKIO UK: MH.LOWASSA AJIUNGA RASMI CHADEMA
http://matukiouk.blogspot.com/2015/07/mhlowassa-ajiunga-rasmi-chadema.html
Tuesday, July 28, 2015. MHLOWASSA AJIUNGA RASMI CHADEMA. Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya kujiunga na CHADEMA Waziri mkuu mstaafu Mh Edward Lowassa. Mh Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya Kujiunga na CHADEMA mama Regina Lowassa. Waziri Mkuu mstaafu Mh Edward Lowassa na Mkewe mama Regina Lowassa wakionyesha kadi zao za Uanachama wa CHADEMA mara baada ya kujiunga na CHADEMA katika hafla iliyofanyika Bahari Beach Hotel. Tuesday, July 28, 2015. Subscribe to: Post Comments (Atom).
matukiouk.blogspot.com
MATUKIO UK: ISSA MICHUZI
http://matukiouk.blogspot.com/2008/12/issa-michuzi.html
Tuesday, December 02, 2008. Anaitwa Muhidin Issa Michuzi. Mwanablogu wa kwanza Nchini Tanzania akiwa katika Pozi JKN International airport akiwa ametinga ze fulanazz maarufu ya blogu ya jamii. Tuesday, December 02, 2008. Subscribe to: Post Comments (Atom). EMAIL - matukiouk@london.com. Http:/ www.bongo5.com. Http:/ www.cloudsfm.co. Http:/ www.jamiiforums.com (FORUMS). Http:/ www.mzalendo.net. Http:/ www.tzuk.net. Http:/ www.wavuti.com. Http:/ www.word.org.uk/. FAIZA ALLY AWAACHIA UJUMBEE HUU WASICHANA.
SOCIAL ENGAGEMENT